Artwork

เนื้อหาจัดทำโดย SIRI ZA BIBLIA เนื้อหาพอดแคสต์ทั้งหมด รวมถึงตอน กราฟิก และคำอธิบายพอดแคสต์ได้รับการอัปโหลดและจัดหาให้โดยตรงจาก SIRI ZA BIBLIA หรือพันธมิตรแพลตฟอร์มพอดแคสต์ของพวกเขา หากคุณเชื่อว่ามีบุคคลอื่นใช้งานที่มีลิขสิทธิ์ของคุณโดยไม่ได้รับอนุญาต คุณสามารถปฏิบัติตามขั้นตอนที่แสดงไว้ที่นี่ https://th.player.fm/legal
Player FM - แอป Podcast
ออฟไลน์ด้วยแอป Player FM !

SIRI ZA BIBLIA: SABABU 7 KWANINI UMEOKOKA

11:35
 
แบ่งปัน
 

Manage episode 313499861 series 3273506
เนื้อหาจัดทำโดย SIRI ZA BIBLIA เนื้อหาพอดแคสต์ทั้งหมด รวมถึงตอน กราฟิก และคำอธิบายพอดแคสต์ได้รับการอัปโหลดและจัดหาให้โดยตรงจาก SIRI ZA BIBLIA หรือพันธมิตรแพลตฟอร์มพอดแคสต์ของพวกเขา หากคุณเชื่อว่ามีบุคคลอื่นใช้งานที่มีลิขสิทธิ์ของคุณโดยไม่ได้รับอนุญาต คุณสามารถปฏิบัติตามขั้นตอนที่แสดงไว้ที่นี่ https://th.player.fm/legal

Kuokoka ni jambo la lazima sana kwa kila anayehitaji uzima wa milele.

Kuokoka kuanza na kumpokea YESU KRISTO kama Mwokozi kisha unaishi ukilitii Neno la MUNGU.

Kwanini ni muhimu sana kuokoka?

Biblia inasema baada ya kifo hukumu.

Waebrania 9:27 ''Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;''

Anayetenda dhambi akifa na dhambi zake anaenda kuzimu.

Mteule wa KRISTO mtakatifu akifa anaenda mbinguni.

Wanadamu wengi wakionywa kwamba waache dhambi husema wanahukumiwa na hutoa sababu kwamba anayeweza kuwahukumu ni MUNGU tu.

Hukumu ni Siku ya mwisho tu ila sasa ni maonyo tu na maonyo hayo yanaletwa na Neno la MUNGU kupitia watumishi, hivyo watumishi wakati mwingine huonekana kama wanahukumu kumbe wanawasaidia watu. Hakuna mwanadamu anayetakiwa kumhukumu mwanadamu mwenzeke.

Nikisema acha uzinzi na usaliti wa ndoa maana ni dhambi sio nakuhukumu Bali nakuambia kweli ya MUNGU.

Nikisema acha dhambi na okoka sasa ni kwa lengo la kukusaidia wewe.

Ni mhimu sana kumpokea YESU na kuanza kuishi katika kusudi la MUNGU la wokovu.

Baada ya kuokoka naomba utambue kwamba wewe umekuwa mtumishi wa MUNGU wa kuwasaidia na wengine ili waje kwenye wokovu.

Biblia inasema kuhusu aliyeokoka kwamba;

''Kwa maana MMEOKOLEWA kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha MUNGU;-Waefeso 2:8''

Biblia inasema tuliompokea YESU kama Mwokozi tumeokolewa.

Kuna watu hudai hakuna kuokoka duniani lakini Neno la MUNGU ndio kweli na kweli hiyo inasema kawmba tuliompokea YESU tumeokolewa na sio tutaokolewa bali tumeokolewa tayari.

Kama hujaokolewa basi nakusihi okolewa leo kwa kumpokea YESU KRISTO kama Mwokozi wako na kuanza kuishi maisha matakatifu ya wokovu wa KRISTO ulio wa thamani sana.

Baada ya kuokolewa naomba ujue mambo 7 muhimu haya yafuatayo.

Hiki ndicho kiini cha somo langu la Leo kwamba ''Tumeokoka ili?''

@siri za biblia

www.sirizabiblia.com

+255 758 708 804

--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
  continue reading

119 ตอน

Artwork
iconแบ่งปัน
 
Manage episode 313499861 series 3273506
เนื้อหาจัดทำโดย SIRI ZA BIBLIA เนื้อหาพอดแคสต์ทั้งหมด รวมถึงตอน กราฟิก และคำอธิบายพอดแคสต์ได้รับการอัปโหลดและจัดหาให้โดยตรงจาก SIRI ZA BIBLIA หรือพันธมิตรแพลตฟอร์มพอดแคสต์ของพวกเขา หากคุณเชื่อว่ามีบุคคลอื่นใช้งานที่มีลิขสิทธิ์ของคุณโดยไม่ได้รับอนุญาต คุณสามารถปฏิบัติตามขั้นตอนที่แสดงไว้ที่นี่ https://th.player.fm/legal

Kuokoka ni jambo la lazima sana kwa kila anayehitaji uzima wa milele.

Kuokoka kuanza na kumpokea YESU KRISTO kama Mwokozi kisha unaishi ukilitii Neno la MUNGU.

Kwanini ni muhimu sana kuokoka?

Biblia inasema baada ya kifo hukumu.

Waebrania 9:27 ''Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;''

Anayetenda dhambi akifa na dhambi zake anaenda kuzimu.

Mteule wa KRISTO mtakatifu akifa anaenda mbinguni.

Wanadamu wengi wakionywa kwamba waache dhambi husema wanahukumiwa na hutoa sababu kwamba anayeweza kuwahukumu ni MUNGU tu.

Hukumu ni Siku ya mwisho tu ila sasa ni maonyo tu na maonyo hayo yanaletwa na Neno la MUNGU kupitia watumishi, hivyo watumishi wakati mwingine huonekana kama wanahukumu kumbe wanawasaidia watu. Hakuna mwanadamu anayetakiwa kumhukumu mwanadamu mwenzeke.

Nikisema acha uzinzi na usaliti wa ndoa maana ni dhambi sio nakuhukumu Bali nakuambia kweli ya MUNGU.

Nikisema acha dhambi na okoka sasa ni kwa lengo la kukusaidia wewe.

Ni mhimu sana kumpokea YESU na kuanza kuishi katika kusudi la MUNGU la wokovu.

Baada ya kuokoka naomba utambue kwamba wewe umekuwa mtumishi wa MUNGU wa kuwasaidia na wengine ili waje kwenye wokovu.

Biblia inasema kuhusu aliyeokoka kwamba;

''Kwa maana MMEOKOLEWA kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha MUNGU;-Waefeso 2:8''

Biblia inasema tuliompokea YESU kama Mwokozi tumeokolewa.

Kuna watu hudai hakuna kuokoka duniani lakini Neno la MUNGU ndio kweli na kweli hiyo inasema kawmba tuliompokea YESU tumeokolewa na sio tutaokolewa bali tumeokolewa tayari.

Kama hujaokolewa basi nakusihi okolewa leo kwa kumpokea YESU KRISTO kama Mwokozi wako na kuanza kuishi maisha matakatifu ya wokovu wa KRISTO ulio wa thamani sana.

Baada ya kuokolewa naomba ujue mambo 7 muhimu haya yafuatayo.

Hiki ndicho kiini cha somo langu la Leo kwamba ''Tumeokoka ili?''

@siri za biblia

www.sirizabiblia.com

+255 758 708 804

--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
  continue reading

119 ตอน

Tüm bölümler

×
 
Loading …

ขอต้อนรับสู่ Player FM!

Player FM กำลังหาเว็บ

 

คู่มืออ้างอิงด่วน

ฟังรายการนี้ในขณะที่คุณสำรวจ
เล่น