Mazin สาธารณะ
[search 0]
เพิ่มเติม
ดาวน์โหลดแอปเลย!
show episodes
 
Artwork

1
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

RFI Kiswahili

Unsubscribe
Unsubscribe
รายเดือน+
 
Ni Makala yanayoangazia kwa jicho la tatu mazingira halisi ya dunia yalivyo bila kusahau kile ambacho kinachangia kuyaharibu. Utapata kufahamu namna ambavyo mazingira na rasilimali zinavyoharibiwa huku pia teknolojia ikijumuishwa. Hakika mazingira mazuri ya leo ni dunia yako kesho.
  continue reading
 
Artwork

1
Mazingira yetu radio

Mazingira yetu radio

Unsubscribe
Unsubscribe
รายเดือน
 
Mazingira yetu radio podcast operates under the slogan ‘’empower and inform’’ by bringing to it’s listeners educative, entertaining and informative environmental podcasts that are tailor made to suit the East African audience.
  continue reading
 
Artwork

1
The Mazin Shaikh Show

Mazin

Unsubscribe
Unsubscribe
รายวัน+
 
The Mazin Shaikh Show gives you a backstage pass to the most fascinating conversations with solo founders, entrepreneurs and thought leaders around the world. Hear inspiring stories from them, learn how to become one yourself, and be a part of an amazing community that's changing the world together. Rate this podcast if you enjoy listening. Happy listening!
  continue reading
 
Artwork

1
Yana Mazing

Yana Mazing

Unsubscribe
Unsubscribe
รายเดือน
 
Welcome to the Yana Mazing podcast, where amazing things are spoken of throughout the world. This is an every- now-and-then podcast where you can not only hear but feel the vibration of life. I am the host, Abokiyana Love. You will enjoy poetry, entrepreneurs, branding, health/healing, and many other Yana Mazing topics. Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/yana-mazing/support
  continue reading
 
Loading …
show series
 
Sote tunataka familia zetu ziwe na chakula cha kutosha ili kula kile ambacho ni salama na chenye lishe. Na lengo la 2 la maendeleo endelevu ya Umoja wa Mataifa ni ulimwengu usio na njaa ifikapo 2030. Lakini licha ya juhudi zinazowekwa, suala la njaa na uhaba wa chakula limeonyesha ongezeko la kutisha tangu 2015, hali hii ikichochewa na mseto wa mam…
  continue reading
 
Wiki chache zilizopita, tulikuletea makala kuhusu pikipiki za umeme, na kupitia ukurasa wetu wa Facebook RFI KIswahili, tukawa na maswali mengi kuhusu pikipiki hizi. Katika makala haya tumemwalika, Raymond Kitunga, kutoka kampuni nyingine inayotengeneza pikipiki za umeme, Spiro Kenya, na hapa atakuwa anayajibu baadhi ya maswali kuhusu pikipiki hizi…
  continue reading
 
Nchini Kenya, wakulima wameanza kukumbatia ukulima wa wadudu na hasa nzi aina ya black Soldier Fly, kama njia mbadala ya chakula cha mifugo wao. Kulingana na wanasayansi, nzi hawa wana proteni ya kiwanngo cha juu, na hivyo wanatoa nafasi bora kwa wakulima kuboresha vyakula vya mifugo yao.โดย RFI Kiswahili
  continue reading
 
Makala ya leo yaliandaliwa Florence Kiwuwa, yanaangazia juhudi za jamii katika mji wa Arusha nchini Tanzania, na kile wanachokifanya kupiga jeki harakati za kukabilianana taka za plastiki.โดย RFI Kiswahili
  continue reading
 
Mkutano wa COP28 uliafikia mataifa mbalimbali kuanza polepole kuachana na matumizi ya mafuta ya kisukuku, mataifa ya Afrika yakitoa wito wa mataifa yenye nguvu na yanayozalisha nishati hii kwa wingi kuwa mfano katika utekelezwaji wa hilo. Mwenyekiti wa shirika la vijana la Youth Survival Organization, YSO, linalojihusisha pia na mzingira, Humphrey …
  continue reading
 
Suluhu za kiasili zinashirikisha hatua mbalimbali za kulinda na kurejesha mandhari ya bahari, maeneo ya maji na maeneo ya mijini ili viumbe hai waweze kukabiliana na changamoto kama vile usalama wa chakula na maji, mabadiliko ya hali ya hewa, hatari za maafa na afya ya binadamu. Suluhu hizi zinasaidia urejesho wa misitu, ardhioevu na pia kuabdili m…
  continue reading
 
Mkutano wa mazingira wa kimataifa COP28 unaendelea jijini Dubai, Saudi Arabia, lengo lake likiwa ni kuangazia namna ya dunia kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Katika muktadha huo, mifumoikolojia ya bahari, ni nguzo muhimu katika kuisaidia dunia kuafikia lengo hili, kutokana na sababu kuwa bahari inasaidia kufyonza asilimia 25 ya hewa ya kabon…
  continue reading
 
Athari za mabadiliko ya hali ya hewa hazichagui mtoto au mtu mzima, akina mama wamelichukua kuwa jukumu lao kuhakikisha mikakati imefanikishwa katika harakati za kupunguza athari hizi haswa kupitia upanzi na uhifadhi wa mikoko Katika kijiji cha Mtangawanda, jimboni Lamu pwani ya Kenya, tunakutana na kundi la akina mama ambao kupitia mafunzo, sasa n…
  continue reading
 
Msikilizaji kwa juma moja, wajumbe kutoka mataifa takriban 175, walikusanyika jijini Nairobi kwa majadiliano ya awamu ya tatu kuelekea kuundwa kwa mkataba wa kisheria wa kimataifa kupambana na uchafuzi utokanao na taka za plasitki ikiwa ni pamoja na mazingira ya baharini. Katika kipindi hiki, wajumbe wa serikali na wadau wengine kutoka mashirika ya…
  continue reading
 
Makala ya mazingira lezo dunia yako kesho juma hili, yanaangazia mradi huu wa ujenzi wa bomba la kusafirishia mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanzania, maarufu kama EACOP, mradi ambao unatazamiwa kugharimu dola bilioni 5.โดย RFI Kiswahili
  continue reading
 
Kulingana na ripoti ya wataalam, maziwa yanayopatikana eneo la Afrika mashariki yameendelelea kurekodi ongezeko ya kasi ya viwango vya maji, hali inayotajwa kuchangiwa na mabadiliko ya tabianchi. Nchini Kenya hali hii imeendelea kushuhudiwa kwenye maziwa yanayopatikana katika eneo la bonde la ufa.โดย RFI Kiswahili
  continue reading
 
Kulingana na wataalam, hali ya mabadiliko ya tabianchi imechangia pakubwa matukio ya el nino ambayo kwakawaida, athari zake hazitabiriki, lakini huathiri hali ya hewa duniani, kuanzia joto kali, mvua nyingi huku pia ikisababisha hali ya ukame katika baadhiya maeneoโดย RFI Kiswahili
  continue reading
 
Kulingna na UNEP, sekta hiyo inachangia asilimia 8 ya utoaji wa gesi joto duniani ambayo inachangia mabadiliko ya tabianchi. Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la mazingira la Greenpeace, vitambaa vinavyotumiwa kutengeneza nguo ni nyuzi za sanisia ambazo zinatengenezwa kutoka kwenye mafuta ya kisukuku ambayo pia ni hatari kwa mazingira…
  continue reading
 
Kenya iko mbioni kuimairisha sekta ya usafiri wa uma, na kampuni ya kutengeneza magari ya Roam ni miongoni mwa zinazolenga kutumia fursa hiyo kuchangia katika kupunguza uchafuzi wa hewa unaotokanana sekta ya usafiri.โดย RFI Kiswahili
  continue reading
 
Mkutano wa tabianchi jijini Nairobi, ulikusudiwa kuja na azimio la pamoja kuhusu msimamo wa bara hilo kuhusu kukailiana na mabadiliko ya tabianchi. Ahadi ya Dola Bilioni 23 iliahidiwa na wadau kutoka mataifa mbalimbali, kusaidia kupambana na mabadiliko ya tabia nchi, barani Afrika.โดย RFI Kiswahili
  continue reading
 
Vijana zaidi ya 20 walipata fursa ya kujifunza kutoka kikundi cha wazee cha Va-Mweki kutoka eneo la Kivaa, kaunti ya Machakos, nchini Kenya, kuhusu utunzaji wa mazingira kwa kutumia njia ya kitamaduni na uhifadhi wa tamaduni za jamii ya wakamba inayopatikana nchini Kenya.โดย RFI Kiswahili
  continue reading
 
Kulingana na shirika la mazingira la Umoja wa mataifa, UNEP, kuna wachimba madini karibu milioni 20 katika nchi zaidi ya 80, idadi hii ikijumuisha wambimba madidi wadogowadogo, Nchini kenya, mchakato wa kupata madini ya dhahabu huwa ni ngumu sana. Mwenzangu George Ajowi alizuri eneo la Osiri kaunti ya Migori magahribi mwa kenya, na kushuhudia jinsi…
  continue reading
 
Las modificaciones que le hice a mi actual pc. Como fui modificando el pc con pequeños cambios hasta llegar a la configuración actual.Es el primer podcast grabado, editado y subido completamente con el PC.Os meto un enlace al video del pc, que ya os digo que la música esta muy alta, pero la bajáis. jeje.https://photos.app.goo.gl/kYtKfWPRUSGEYAMd6…
  continue reading
 
You might want to ride out and listen to this one. XYZ and ABC now I know you or your mans going to try at least defend your innocence. We will see each other in court. Listeners and Lovers my single, "Libra" will be dropping soon. Thanks for all the support. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/yana-mazing/messageSu…
  continue reading
 
This episode recalls a real, life event, which took place during a time where employees and employers are working hard to heal the wounds the job market, where many have faced months of unemployment during the global pandemic. ''To be intellectual does not require one to be alienated and oppositional''- Nancy Pearcey. The tone of this podcast is st…
  continue reading
 
Akili travel is travel agency based in Comoros with a pan-African out look. The agency is leveraging on technology and it's extensive knowledge in hospitality and marketing to come up with a website that enables hoteliers to list their facilities and for customers to easily book a hotel of their choice before visiting a destination. COVID-19 Pandem…
  continue reading
 
This episode features a previously- recorded-audio- message too long for sms, too real for e-mail, and too much for t.v. Lol please enjoy. The episode articulates the very essence of an empath's difficulty with being empathetic during secretive friendship. It's basically logical and emotional torture.--- Send in a voice message: https://podcasters.…
  continue reading
 
In this episode as the host, I draw the listener's attention using hard knock life lessons.Real stories which led me on the bridges from negative to positive. The story is for both the rural child-inner city or suburban juvenile. There will be a part two to conclude this alternative truth which has systematically injured anyone re-entering society …
  continue reading
 
Loading …

คู่มืออ้างอิงด่วน